Article 24
HONGERA DA'MIJA KUBLOGU MIAKA SITANimepekenyua blogu zetu za Kiswahili (Tanzania) na kugundua blogu ya Da'Mija Shija Sayi (pichani) imetimiza miaka sita juzi tarehe 8. Huyu mdada ni miongoni mwa...
View ArticleArticle 23
YA KALE DHAHABUJamaa fulani yuko na jamaa yake Frank Mwasyeba baada ya mtihani mmoja wa taifa wa Kidato cha nne. Mwaka ni 1996. Nani anaweza kubashiri ni shule gani hii?
View ArticleArticle 22
NGUVU YA MABLOGUpichani mamblogu yalivyokuwa yakionekana leoMablogu mengi leo yalilipoti kifo cha mnajimu huyu. Pengine ni kwa umaarufu wake aliojijengea tanzania kwa zaidi ya miaka 40, umaarufu ambao...
View ArticleArticle 21
KICHWA CHA HABARIHuku ku-balansi vichwa vya habari magazetini sasa balaa.Majira Ijumaa Mei 20
View ArticleArticle 20
UCHOKOZI...!!"ACHA NINYWE KWA RAHA ZANGU MAANA NIMESHAUA ILE SHEITWAN USAMA! HAHAAAAAAAAAAAAAAAA"(Nukuu imetoka hapa)
View ArticleArticle 19
SOKO LA UHINDINI MBEYA LILIVYOPIGWA NYUNDOWazee wa jiji wameanza mpango wao wa kujenga soko la kisasa lilipokuwa soko la Uhindini liloungua miezi michache iliyopita. Kuanzia juzi nyundo mtindo mmoja...
View ArticleArticle 18
KINGO LEO'Mama yangu! huyu mbwa katumwa nini?''Ehu! haniachii tu''Shinzi!! kumbe...'
View ArticleArticle 17
RENATHA BENEDICTO UNATAFUTWA HUKU...!!Mubelwa Bandio katika poziNdugu. Kwa mara nyingine nawakilisha ombi la kunisaidia kutangaza (wakati wowote upatapo nafasi) kuhusu Dada mdogo RENATHA BENEDICTO...
View ArticleArticle 16
Never Joke a desperate person. Read on:There's this guy sitting at a bar, just looking at his drink. He stayslike that for half an hour. Then this big trouble-making truck driversteps next to him,...
View ArticleArticle 14
GARI LINAUZWAMAZDA PREMACYYear / Month 2001Odometer 106,138 kmDisplacement 1,830 ccSteering RightTransmission AutomaticEx/Interior Color GrayFuel PetrolDoor 5No Of Passengers 5BEI MILIONI 15MAWASILIANO...
View ArticleArticle 13
ADIMIKONdugu mnaotembelea kibaraza hiki, samahani kwa kutotoa mpya. Niko safarini moro na dar alafu nimesahau modemu yangu mbeya. Nitarejea hewani hivi punde.
View ArticleArticle 12
VYUNGU VYA MAUANilikwisha kurudi jijini Mbeya tangu juma lililopita. Sijaweza kublogu kuwajulisha yatokanayo na safari yangu kwa sababu ambayo wote mnaweza KUBASHIRI. Naam wote mmepatia.Leo imetokea...
View ArticleArticle 11
DONDOSHA MKONOSWETA!!Mafinga Iringa.Mikoa ya Iringa na Mbeya inafanya kampeni kabambe ya kudongosha 'mkonosweta' kwa minajili ya kupunguza uwezekano wa maambukizi ya Ukimwi. Mbali na faida hii...
View ArticleArticle 10
KIGODA CHA NYERERE: KINA KASOROJE WEWE UNAIONA KAMA NINAVYOIONA MIMI. SOMA HAPA HABARI KAMILI
View ArticleArticle 9
MRISHO NGASSA: TUKIWEZESHWA TUNAWEZAMbongo Mrisho ngassa akikamua vilivyo na mchezaji wa Manchester United yeye akichezea Seattle Jana. Naam tukiwezeshwa ....
View ArticleArticle 8
KWAHERI PROF SAMUEL MUSHIProf Samuel Mushi (pichani)hatunaye. Nimeweka tanzia hii kama kumbukumbu yangu binafi kwani alikuwa mshauri wangu binafi wa kitaaluma (academic adviser )nilipokuwa UDSM...
View ArticleArticle 6
NIKO 'NTWARA'Nimetembelea maeneo ya kusini mwa Tanzania. Mtwara hakika kumekucha.Picha ninazo tele na nitaziweka hapa hapa.MitaaniDaraja la Mkapa nikiwa njiani
View ArticleArticle 5
HAPA NA PALE MTWARAOn my background is the Tanzania's naturally deepest port.In the streets with TIA colleagues
View Article
More Pages to Explore .....